Sunday, May 26, 2013

WATANZANIA WAWILI WATUWAKILISHA BIG BROTHER AFRICA



Katika shindano la Bog Brother Africa kwa mwaka huu 2013 lililoanza rasmi May 26 Nchini South Africa watanzania wawili wanatuwakilisha katika jUmba hilo ambao ni Feza Kessy na Nando.
Kwa upande wa Feza Kess ni msanii wa muziki wa bongo fleva aliewahi kuwa chini ya Kampuni ya AY Unity Entertainment na ameshawahi shiriki mashindano ya Miss Tanzania wakati Nando ki makazi alikuwa akiishi nchini Marekani na alisafiri kutoka Marekani na kuja Tanzania kwa ajiri ya Audition ya Shindano la Big Brother Africa.








0 comments:

Post a Comment