Mwakilishi wa Tz
katika ile reality Tv show inayofahamika sana Barani Africa BIG
BROTHER inayotalajiwa kuanza tarehe 25 mwezi huu wa tano mpaka sasa
hajafahamika na amefanywa siri.
akitoa taarifa hiyo
Afisa uhusiano wa Multi Choice Tanzania Babra Kambogi ameema kuwa
mwakilishi kutoka Tanzania ni siri kubwa na siri hiyo itakuja
kufichuka siku ya tarehe 25 mwezi huu wakati reality show hiyo
itapokuwa akianza na watu watajionea live na kumuona mshiriki wa
Tanzania.
lakini kuna tetesi
zilizozozagaa mitaani kuwa kijana aliekuwa mtangazaji wa Tv moja hapa
mjini Romeo Rommy Jones kuwa ndie atakkae wakilisha Tanzania katika
Reality Show hiyo itakayoanza siku ya Jumamosi ya Tarehe 25 mwezi wa
5 mjini South Africa.
0 comments:
Post a Comment