1:20 AM
Na Gerald Kitalima
NYOTA wa muziki wa Bongo
Fleva Dayna Nyange ambae anauwakilisha mkoa wa Morogoro katika tasnia
ya muziki amefunguka na kusema kuwa picha alizopiga na Nay wa Mitego
zimemkwaza mpenzi wake,Dayna alisema haya alipokuwa
akihojiwa katika
kipindi kimoja cha Radio (XXL cha Clouds Fm).
1:15 AM
Ningekuwa na
uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana... But sina... Na
siwezi kumkufuru mwenyezi mungu.... Au mngependa niwe nawaambia jinsi
ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe... Is
dat wat u
1:11 AM
Na Gerald Kitalima
Mwigizaji katika tasnia ya
filamu Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa filamu zimeharibu mipango
yake ya miaka mingi ya kutaka kuwa mwongozaji wa ndege yaani
Rubani,Irene
alisema hayo weekend hii
kupitia kituo cha Radio cha East Africa Radio.
11:40 PM
Na Gerald Kitalima
Rama Dee amefunguka hayo
kupitia ukurasa wake wa Facebook alipodai kuwa mashabiki na upungufu
wa muziki wa RnB Tanzania ndicho kilichomsukuma
kufanya kazi hiyo.
11:17 PM
Na Gerald Kitalima
Mwanamuziki nguli wa kike
hapa Tanzania Lady Jaydee ambae kwa sasa anafanya poa na wimbo wake
wa Forever amefunguka na kuonyesha kukerwa na kitendo cha