Msanii
wa muziki wa Hip Hop nchini Profesa Jay anaetamba na ngoma kali kibao
katika tasnia ya Bongo Flava ameonesha wazi kutoa support kwa msanii
Lady Jaydee katika show ya kutimiza miaka kumi na tatu ya Kimuziki
kwa mwanadada Lady Jaydee.
Profesa
Jay ameweka wazi msimamo wake huo leo hii mchana na kusema kuwa kwa
nguvu yake yote,akili zake zote na uwezo wake wote atajitoa
kuhakikisha anafanikisha Show HIYO kwa kufanya PERFORMANCE KALI.
“Nitakuwa
na @JideJaydee
kwenye show yake ya miaka 13 ya LADY JD, Kwa NGUVU zangu zote, AKILI
zangu zote na UWEZO wangu wote, KARIBUNI SANA”
Hapo
awali mwadada Lady Jaydee alisema kuwa kina Linah.Barnabas na Ben
Paul wangekuwepo katika show hiyo lakini baada ya siku kadhaa mbeleni
Linah Sanga na Barnaba walijitoa katika Kufanya Tamasha Hilo la Miaka
13 ya Lady Jaydee.
Lady
jaydee akizunguzia show hiyo amesema kuwa teyari mpaka sasa Tickets
zishaanza kupatikana katika maeneo aliyoainisha
Tickets
za VIP Tsh.50,000/= zinapatikana SHEAR ILLUSIONS Mlimani City, BM
Salon Kinondoni, CITY SPORTS LOUNGE mjini, NYUMBANI LOUNGE, SAMAKI
SAMAKI Mlimani City na kwenye gari yangu popote utakapopishana na
mimi.
Alimaliza kwa kusema kuwa MIAKA 13 YA LADY JAYDEE njooni tuimbe na tusherehekee kwa pamoja ta 31 May 2013.
Sehemu ya Parking ya ndani ya Nyumbani Lounge, Tranic Plaza
Alimaliza kwa kusema kuwa MIAKA 13 YA LADY JAYDEE njooni tuimbe na tusherehekee kwa pamoja ta 31 May 2013.
Sehemu ya Parking ya ndani ya Nyumbani Lounge, Tranic Plaza
0 comments:
Post a Comment