Moja
kati ya waasisis wa muziki wa Hip Hop Tanzania kutoka katika kundi la
Kikosi cha Mizinga Kala Pina amemtuhumu Msanii mwenzake wa Hip Hop
kutoka Ilala Dar es salaam Chiddi Benzi Chuma kuwa anatumia madawa ya
kulevya.
Kala
pina alizungumza hayo katika kipindi cha Redio Moja Hapa Mjini
alipokuwa akaisema sababu za yeyer kuamuwa kumshushia kipigo Msanii
huyo jukwaani Maisha Club
"
ukweli ni mambo fedheha, mdogo wetu chidi benzi cocaine au heroin /
unga anaovuta unampeleka pabaya, tena mimi kama kaka yake namshauri
aachane na matumizi ya madawa kulevya, kwa sababu mwisho wake utakua
m'baya,
mimi
nilikua back stage na ikafika zamu yangu kupanda jukwaani nikawa
naskia sauti mtu anatamba jukwaani kwa dakika saba ama nane, alikua
ananichelewesha kupanda, na ananiharibia show yangu, huyu mtu si
adui, nikatoa amri mara tatu kama F.F.U aka kaidi ndipo nikamfata na
kumpa dozi, si akaanguka chini na mimi nikaendelea na show yangu,
hakuna hata mtu mmoja atakaye kubali kuharibiwa kazi, hata rais
Kikwete ukimharibia utaishia jela."
madai
ya kuwa msanii Chiddi Benzi anatumia madawa ya kulevya yamezidi kukua
na kuongezeka kwani hata siku ya jana msanii huyo aliandika katika
ukurasa wake wa Facebook kuwa Ney wa Mitego anamtumia messeji na
kumwambia kuwa yeye ni Teja.anavuta unga na kuwa hana cha maana
anachofanya katika maisha ya kila siku.
0 comments:
Post a Comment