Monday, July 8, 2013

HUDDA AMCHARUKIA FEZZA KESSY

Baada ya watu wawili kuaga mashindano hayo siku ya Jana Fatima na Hakeem leo mshiriki kutoka Kenya Annabel amechaguliwa kwa ajiri ya kutolewa katika jumba hilo pamoja na Cleo ambae
amepata kura 6 akimzidi kura 2 Annabel.

Baada ya kuchaguliwa kuingia katika kikaango hicho aliekuwa mshiriki wa BBA The chase Huddah kutoka pande za kenya amemfungukia na kumchacharukia Mtanzania Fezza Kessy kwakuwa nae amempigia kura ya kutoka mkenya huyo.

Mkenya huyo ambae nae alitoka katika shindano hilo amefanananisha kitendo alichokifanya Fezza ni sawa na kukumbuka nyumbani akiamini kuwa huenda watampigia kura au kikamshusha na kusababisha kutolewa katika jumba hilo.

I was shocked with Feza's decision I guess she misses home" 

 










0 comments:

Post a Comment