Tuesday, February 11, 2014

MAYUNGA KUDONDOSHA SUGAR CANE SOON

Msanii wa filamu kutoka mkoani Geita Suleiman Mayunga yupo jikoni kupika Movie mpya ambayo itakuwa sokoni muda si mrefu inayokwenda kwa jina la
Sugar Cane.

Akifunguka na Mpitanjia Mayunga amesema kuwa katika Movie hiyo ambayo amempashavu msanii mwenzake kutoka Geita Peter Phinias ambae anafahamika kama “Kanumba” kutokana na ufanano wake na marehemu Kanumba.

Mayunga amesema kuwa lengo la Sugar Cane ni kutoa Elimu kwa wapenzi namna ambavyo wanaweza kusameana kwa haraka pindi wanapokoseana au kutofautiana kwa namna yoyote ile.

Usiweke uficho katika mapenzi hasa kwa mwenzi wako kwani ya weza leta madhara makubwa kati yenu”

Usichelewe au kujishauli kwa mda mrefu kusamehe hasa kwa mwenzi wako, speed and accurate inatakiwa saaana kutumika baina yenu.MWAMBIE MPENZI WAKO UMEMUSAMEHE KWA YOTE ALIYOKUKOSEA HARAKA NA KWA MOYO WAKO WOTE............''SUGARCANE''

0 comments:

Post a Comment