Monday, July 8, 2013

WAJAWAZITO WASHAURIWA KUACHA KUNYWA POMBE INAMADHARA KWA MTOTO.

Imeelezwa kuwa kwa wale wanawake ambao ni wajawazito na wanatumia Pombe kuwa matumizi ya pombe kipindi unaujauzito unahatarisha ukuaji wa mtoto utakae zaa na kusababisha matatizo ya ulemavu,kushindwa kukuwa kwa wakati,kuharibika kwa ubongo na hata matatizo ya figo,ulemavu wa kusikia na kuona na utendaji mbovu wa mfumo wa Neva.

 
Ushauri huo umetolewa na Meneja Uajiri(Masoko na Mauzo) wa Kampuni ya TBL Kissa Mwasomola 
 
mwanamke mwenye ujauzito ni bora akaacha kabisa kutumia pombe ili kumuepusha mtoto atakayezaliwa kuathirika kiakili,alidai kuwa hakuna kiasi maalum cha pombe kinachoruhusiwa kwa mjamzito kukitumia ambacho akitaadhuru ukuaji wa Mtoto atakae zaliwa.

0 comments:

Post a Comment