Kama kawaida yangu Mpita Njia katika Pita Pita zangu katika Mitandao ya kijamiii nikakutana na hizi jumbezii zilizoandikwa baada ya Watu maarufu wawili kutoka katika kituo kimoja cha Radio walipofunga ndoa yao huku mwingine ni mara yake ya kwanza kuingia katika ndoa lakini kwa mwenza wake hii ilikuwa ni siku ya Tatu kupigiw.....a Shangwe za Bi Harusi.
- Hapa maana yangu ni kwamba kwa bidada Dida ilikuwa ni siku ya Tatu kufunga ndoa japozilifungwa kwa siku tofauti na miaka tofauti wakati kijana Ezden The Rocka ilikuwa ni mara yake ya kwanza,hizi jumbe si mari ya Mpita Njia ila fuatilia mwenyewe uone namna watu walivyoipokea ndoa hiyo .
-
.yeye dida nadhani anategemea kuachika tena maana anasema ikitokea akaachika , hataolewa tena! kwa nini utegemee kuachika? si mumeo kakuombea kakushika kichwa ili kizingatie maadili ya ndoa? sasa vije? aaaaaaaaaaah dida unamtia wasi wasi mwenzio .
.Kweli huyu kalogwa @meggie. Hata wewe mwandishi hebu tafuta stori zaidi huko alikoachika ameacha watoto????? Hii kweli bongo darisalama. Wasela wanajifanya wameoa, wanachimba madini weee yakiisha wanaanza!!
.naona hapo kijana unatafuta umaarufu au kulelewa, hao ni kunguruuuuuuuu ......... ni muda tu utakuwa na wewe kwenye magazeti ya udaku
.Kama ni CV ya vyeti vya ndoa basi DIDA anaongoza!!!!
.umelogwaaa weweeeeeee
.bado utaachika tu kama ulishindwa kuvumilia kwa hao wawili watangulizi itakuwa kwa huyu wa tatu??sikio la kufa halisikii dawa .
.Sasa hata hawa waoaji nao!!!!! Mwanamke ameshaachika mara mbili na wewe unaenda hapo hapo????????? Haya bwana mi si neon zaidi!! Mbona wanawake bongo tena wazuri wako kibao?????
.kazi
ipo nakutakia kila la heri bi dada
.
0 comments:
Post a Comment