
“Niliota
ndoto. Kuna watu wanapenda watu wengine wagombane ili wafanye
biashara zao vizuri. Mungu anawaona”
msanii
na Mchekeshaji huyo amefunguka hayo kufuatia ugomvi uliopo katika
tasnia ya muziki kati ya baadhi ya viongozi wa Redio Clouds pamoja na
msanii wa muziki wa Bongo Fleva Mwanadada Lady Jaydee unaoendelea na
kushika kasi kubwa katika masikio ya watu na katika vyombo vya habari
mbalimbali nchini.
Kwani
kwa ugomvi huo kuna kundi kubwa la watu linafaidika na mvutano wa
watu hao wawili ingawa kwa namna moja unajenga na kuhalibu pia,hivyo
kuna kundi kubwa la watu wanaendelea kufaidika na kutengeneza maisha
yao.
0 comments:
Post a Comment