Monday, May 6, 2013

CHIDDI BEENZ AMPA ONYO NEY WA MITEGO KUTO MTUMIA MESEJI



Msanii wa Hip hop kutokea pandwe za ilala Chiddi Beenz Chuma leo huii ameandika katika ukurasa wake wa Kitabu cha uso dhidi ya Mpinzani wake Ney wa Mitego kutokea pande za Manzese

Chuma amesema kuwa Ney anamtumia message inbox na kumtusi kuwa yeye ni mteja hana hata Baiskeli ya miguu miwili hivyo anadai kuwa hajui anamaanisha nini kumtumia message kama hizo hivyo amaemtaka kuacha kumtumia messeji hizo huku akisenma kuwa yeye ana mungu,Family,na kusema anamashabiki Ilala wanaonikubali pia ana ndugu jamaa na marafiki kama ambavyo anatiririka hapa Chuma

We Neema wa mitego usinitumie msg inbox tafadhari..unanitukana mimi mteja sina hata baiskili' sijui unamaanisha nini but usitume msg inbox...mimi nina God,Family,Ilala,mashabiki wanaonikubali,ndugu na marafiki na najua kufanya kazi napenda mziki..utajiri unao wewe baiskili unayo wewe na vizuri kama hutumii madawa wala chcht.m real

ikumbukwe pia Bifu kati ya watu hawa imeanzia kwenye baadhi ya mISTARI YA nYIMBO ZAO ambayo inaonekana kuendelea kukua chini kwa chini na kuendelea kutambiana kwa mambo mbalimbali.

0 comments:

Post a Comment