Tuesday, August 6, 2013

JUMA KASEJA AMEBAKIZA SIKU 3 TU


Aliekuwa kipa namba moja wa Club ya Wekundu wa msimbazi Juma Kaseja amebakiza siku zake tatu....!
kuondoka katika Ardhi ya Tanzania na kuelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kusaini mkataba mpya wa kuichezea klabu ya FC Lupopo inayoshiriki ligi kuu ya nchi hiyo.


Balanga alisema kuwa wakifika Kongo wanatarajia kumpa mkataba wa miaka miwili ambapo atapewa dola za Marekani 30,000 (Sh. milioni 50) na mshahara wa kila mwezi wa dola za Marekani 2,000 (Sh. Milioni 3.14).

Mbali na mshahara huo lakini Juma amehakikishiwa kuwa atakuwa Chaguo la kwanza katika katika klub hiyo .

0 comments:

Post a Comment