Baadhi ya Madada
poa wanaofanya kazi ya kuuza miili yao katika kumbi mbalimbali za
starehe wanajitambulisha kuwa ni wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu
kama vile Chuo cha.....!
Ustawi wa Jamii, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
Chuo ca Biashara (CBE), ingawa ni ngumu kuthibitisha ukweli wa kile
wanachosema, lakini inaaminika lengo ni kuongeza
thamani.
Huduma ya wahudumu hao wengine huwaita ‘changudoa’
au ‘dada poa’ inatofautiana kwa gharama. Inapanda na kushuka. Ni
kama biashara ya wamachinga kutumia neno na wewe, ‘unazungumza’
wanapokuwa katika majadiliano na mteja.
“Showtime ni 20 tu;
na kama ni hadi asubuhi 50.” Hii ni bei inayotolewa na Amina kwa
upande wake anapokutana na mteja.
Dar es Salaam, tabia hiyo
inafanyika katika maeneo mengi kuanzia saa 4 usiku hadi
kunakucha.
Baadhi ya watu walioishi miaka mingi,
wanakumbuka kwamba tabia ya wanawake kuishi Dar es Salaam kwa kuuza
miili iliibuka mapema miaka ya 1970.
“Wakati huo biashara
ilikuwa inafanyika vibandani kwenye mitaa mbali mbali ya
mafichoni,” anasema mmoja wa kazi wa Temeke huku akiomba
kuhifadhiwa jina lake.
Lakini sasa, Mzee huyo anasema mbali na
kumbi za starehe kutumika kama mtego wa kunasa wateja, biashara ya
kuuza miili Dar es Salaam inaanza muda mfupi mara tu baada ya jua
kuchwa.
“Kasi ya biashara hiyo ni kubwa, changudoa
wanajipanga mitaani kunasa wateja kwenye magari yanayopita
barabarani, tofauti na zamani walipokuwa wanafuatwa vibandani,”
anasema.
Mbali na Klabu Ambiance, iliyopo Barabara ya
Shekillango wilayani Kinondoni, biashara hiyo imeshika kasi kubwa pia
katika maeneo mengi ya wilaya za Temeke na Ilala.
Kwa wilaya
ya Kinondoni maeneo hayo ni pamoja na Sea Cliff, Oysterbay, St.
Peter’s, Super Market huko Msasani na Makaburini karibu na soko
liitwalo la kimataifa - Kinondoni.
Kwa upande wa Temeke
ni maeneo ya karibu na mtaa wa Wailes wakati huko Ilala, mitaa
inayotajwa kuwa maarufu kwa biashara hiyo ni pamoja na Ohio huku
mingine mingi ikiwa sehemu za Buguruni.
Wanapokuwa wamejipanga
kandokando ya barabara wakiwa nusu utupu, wasichana hupunga mikono
kama anavyofanya mtu anayesubiri usafiri, lakini magari yanaposimama
wanayavamia huku wakitangaza bei ya huduma yao.
Huduma yenye
bei ya chini kuliko zote ni ngono kupitia sehemu ya kawaida ya siri
ya mwanamke, inayofuatiwa na ya kupita ‘mlango wa nyuma’ na yenye
gharama kubwa zaidi ni ile ambayo inatolewa kwa njia ya
midomo.
Ingawa wanaofanya biashara hiyo wanaonekana ‘kujali’
kwa kuwasisitizia wateja wao kuvaa mpira wakati wa tendo la ngono ya
kawaida, baadhi ya wateja wao wanasema makahaba wengine hawafanyi
hivyo wanapotoa huduma kwa njia ya mdomo na ya mlango wao wa nyuma,
kwani wanachojali ni dau kubwa tu.
0 comments:
Post a Comment