Monday, April 22, 2013

MANCHESTER UNITED KUSHINDA LEAGUE YA BARCLAYS LEO DHIDI YA ASTON VILLA?



Yakiwa yamebakia masaa takribani kumi hivi pale watapokutana Manchester United na Aston Villa katika Uwanja wa Old Trafford usiku wa leo
swali linabakia pale pale kuwa je Manchester United ataweza kumgalagaza Aston Villa na kuchukua kikombe hicho Usiku wa leo?

Hapo majibu sina kwa kuwa mimi si mtabiri wa michezo hivyo niwaache mashabiki wa Manchester United ukiendelea kuomba Dua ili muweze kutwaa Ubingwa katika mashindano hayo lakini vilevile Mashabiki wa Aston Villa mkiendelea kuimboa Timu yenu kumchachafya Manchester United na kumuwekea ngumu dhidi ya Ubingwa wa kikombe cha Baclays Premier League .

UNAWEZA KUTABIRI TIMU YAKO ITASHINDA KWA GORI NGAPI DHIDI YA MPINZANI WAKE




0 comments:

Post a Comment