Mpango
mzima umeanzia kwenye Ndege wakiwa wanaelekea Norway wiki iliyopita
walengwa wakiwa wanaelekea kwenye concert ndipo walipoanza kuoneshana
malovee mpaka maraia tukazinyaka.
hivi
karibuni Selena Gomez alikuwa nyuma ya Stage katika Concert
aliyoifanya Justin Bieber huko Oslo wiki hiyo ya jana lakini hali
hiyo inaonesha kuwa walengwa hao wawili kuwa wamerudiana baada ya
kukutwa waki Kiss huko Norway walipokwenda katika show.
Walikuwa
wakishikana mikono,wakikumbatiana na kukiss mara kwa mara katika Lips
kiukweli wal;ikuwa wakionekana kuwa ni wapenzi kama hakuna ugomvi
ambao umewahi tokea siku za nyuma kati ya wawili hao hii ni dalili
kuwa wamerudiana tena na kuwa wapenzi kwa mara nyingine.
Wengine walikuwa wakidai kuwa Gomez alikuwa akimpigia sana na kumsumbua Bieber kwa simu na meseji za simu ingawa Bieber hakuwa teyari kuwa nae tena .
0 comments:
Post a Comment