Thursday, April 18, 2013

HICHI NDICHO ALICHOSEMA KIKWETE JUU YA BI-KIDUDE



SALMA KIKWETE,BI-KIDUDE,JAKAYA KIKWETE
Raisi wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete amefunguka juu ya kifo cha Bi kidude na kusema kuwa alikuwa Mzalendo na mfano wa kuigwa katika matumizi ya sanaa yake ya uimbaji.

Nami bila ya hiyana nachukua kama kilivyoandikwa katika ukurasa wake wa Facebook na kukupatia kama ifuatavyo

“Bibi Fatuma binti Baraka (Bi Kidude): Gwiji, mzalendo na mfano wa kuigwa katika kutumia sanaa kuleta burudani, umoja na mshikamano. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema ampumzishe pema”.

Na mimi namalizia hiviiiiiii Aminahhhhh

0 comments:

Post a Comment