Thursday, March 7, 2013

YANGA KIBARUANI JUMAMOSI HII DHIDI YA TOTO AFRICANS

KIKOSI CHA YANGA

 kikosi cha timu ya yanga kitashuka dimbani jumamosi hii hapa baada ya kuichapa timu ya Kagera Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo uliopita mwishoni wa wiki ilee, timu ya Young Africans Sports Club itashuka dimbani  kucheza na timu ya Toto Africans  kutoka jijini Mwanza, mchezo utakaofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuanzia majira ya saa 10 jioni.Toto African watakuwa na mtihani mkubwa zidi ya Young African kutokana na kutofanya vyema katika mzunguko huu wa pili wa ligi kuu,Toto African ipo nafasi ya 13 huku ikiwa na points kumi na nne.

0 comments:

Post a Comment