Thursday, March 7, 2013

AZAM FC VS POLISI MORO

Wachezaji wa Azam FC wakiendelea na mazoezi leo asubuhi katika kiwanja cha Azam Chamazi.

Katika mzunguko wa pili wa ligi kuu Bara  unaoendelea Jumamosi hii Azam FC itashuka dimbani na Polisi Morogoro  katika viwanja vya  Azam Complex, Chamazi) Azam inaingia dimbani  ikiwa  nafasi ya pili katika mzunguko wa ligi ikiwa nyuma ya Young African  huku Polisi morogoro ikiwa katika nafasi ya kumi na mbili katika mzunguko wa ligi.

0 comments:

Post a Comment