Mwandishi Yassin Sanga-Serengeti
Walinzi wawili wanaolinda Bwawa
la Serengeti Manchila linalosamabaza maji katika mji wa Magumu,walinzi hao
walipigwa risasi usiku wa kuamkia leo na kufa hapo hapo.
Watu waliotenda tukio la
mauwaji hayo hawakuweza kuchukua mali aina yoyote ile katika eneo la tukio
licha ya kuwepo kwa PikiPiki simu na vitu vingine katika eneo la tukio lakini
kwa mujibu wa Raia wema katika eneo hilo walilifananisha tukio hilo na ulipwaji
kisasi kwa walinzi hao jambo ambalo halina ukweli ndani yake kwani hatujapata
chanzio kamili cha tukio hilo.
Mungu azilaze pema peponi Roho
za Marehemu hao.
0 comments:
Post a Comment