Sunday, May 26, 2013

LADYA JAYDEE KUJUA HATMA YAKE LEO


Mwanamuziki Lady Jaydee Leo atajua hatima yake katika mahakama ya Kinondoni kufuatia kufunguliwa kesi ya madai dhidi yake na viongozi wa Radio wa Redio ya Clouds Fm.
Wiki kadhaa zilizopita mwadada huyo aliitwa mahakamani hapo na kuzuiliwa kuzungumza jambo lolote lile kuhusiana na hao watu waliofungua kesi dhidi yake na hakupaswa kuzungumzia jambo lolote lile juu ya Mgogoro walionao mpaka siku ya leo mahakama itapo toa kauli yake juu ya jambo hilo.
Kwa mujibu wa Lady jaydee anatakiwa kufika Mahkama ya Kinondoni kuanzia Mida ya saa Mbili na Nusu kwa ajiri ya kwenda kusikiliza nini kinaendelea juu ya sakata hilo.


0 comments:

Post a Comment