Wednesday, June 19, 2013

WALIOZUSHA KIFO CHA SAIDA KAROLI WAMEFELI


Mwaka huu katika tasnia ya burudani kumekuwa na matatizo ya vifo kama ambavyo tumewapoteza ndugu zetu Ngwear na Langa Kileo katika wiki mbili tofauti hivyo watu walipatwa na mshtiko sana hasa taarifa zilipotoka juu ya kifo cha Albert Mangwear.

Jana zilizagaa tetesi ambazo zilikuwa kizunguka kwa kasi kubwa sana kuwa mwanamuziki Saida Karoli amefariki dunia baada ya kupata ajari katika ziwa Victoria,lakini baada ya Jitihada mbalimbali za wanahabari wenye kujua kazi yao walimpata mwanadada Saida Karolin a kupiga nae stori na kukanusha taarifa hiyo iliyosambazwa kuwa amefariki kwa kupata ajari ya maji.


Saida amefunguka na kusema Hana mpango wa Kufa na sasa hivyo wazushaji wasubiri sanaa.

0 comments:

Post a Comment