Tunashukuru
kwa support yenu jana (Juzi) mlitushangilia sana na sie tulijitahidi kadri ya
uwezo wetu bt nazani uzoefu ndo ulituangusha,,
Nashukuru
pia kwa muda wote kua nyuma yangu siku zote japo nlipitia wakati mgumu siku za
karibuni,,,
Nazani
ntakua kwenye kiwango changu cha kawaider
Maneno
haya yamemtoka mwinyi Kazi Moto baada ya Timu yetu ya Taifa baada ya Ivory
Coast kutulaza kwa Gori 4-2 tukiwa nyumbani kwetu,mechi ya hiyo ilichezwa Juzi
katika uwanja wa Uwanja wa Taifa iliigiza kiasi cha MIL.500 za Kitanzania.
0 comments:
Post a Comment