Sunday, May 26, 2013

KESI YA LADY JAYDEE YAPIGWA CALENDAR TENA



Ile kesi inayomkabili mwadada lady jaydee imepigwa karenda na kupangwa tena siku ya Alhamisi ya Tarehe 13 June mida ya saa tano asubuhi kwa mantiki hiyo bado Lady jaydee hapaswi kuzungumza jambo lolote juu ya watu waliomfungulia kesi hiyo mpaka siku Mahakama itapotoa tamko.
Kitendop cha Kesi hiyo kusogezwa mbele kwa namna moja kunampa nafasi Mwanamuziki Jaydee kujipanga vizuri kwa show yake ya Mika kumi na tatu ya Muziki itayofanyika katika Nyumba Lounge siku ya Ijumaa hii na kutumbuizwa na wasanii kama Prof JAY,Juma nature na wengine ambao itakuwa ni Suprize kwa siku hiyo.
Lakini mbali na hilo mwanamuziki huyo nguli katika tasnia ya Bongo Fleva ameonesha kukukatishwa tamaa na mtu wake wa karibu ambae kwa madai yake amesema amemgeuka leo
Tulikuwa km kaka na dada, very close kuliko mtu yoyote. Leo umenigeuka?? Okay basi sawa”

0 comments:

Post a Comment