Wapenzi
wawili ambao ni Raia wa Austraria wamepigwa picha wakiwa wanafanya mapenzi
barabarani,picha hiyo imepigwa kutumia mtandao wa Google Maps.
Lakini
kwa mujibu wa mtandao huffingtonpost.co.uk na vyanzo vingine vya habari
vimesema kuwa wapenzi hao walikuwa wakifanya Fake sex baada ya kuona vyanzo vya
Google vikikatisha barabarani huku vikipiga picha na wao ndipo walipokwenda
mbele ya Gari lao nakujifanya kama wanafanya mapenzi wakijua kuwa lazima
wangewapiga picha.
“Akizungumza
mwanaume huyo alisema kuwa aliliona gari la Google likiwa barabarani
likiendelwea kuchukua matukio anasema aliongeza speed ya gari lake na
kufanikiwa kuwa overtake na kwenda kupaki mbele na kufanya tukio la kuigiza mapenzi
huku akiwa na beer mkononi”
0 comments:
Post a Comment