Thursday, May 9, 2013

JUMANATURE ,WANAUME HALISI WAUNGANA NA LADY JAYDEE


JUMA NATURE NA JAYDEE WAKIWA KATIKA STYLE YA ANAKONDA
Msanii mkongwe katika game ya bongo Fleva Juma Kassim kiloboto  kutoka katika kundi la wanaume Halisi ameungana na Mwanadada Lady jaydee katika show itakayofanywa siku ya Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Tano katika Ukumbi wa Nyumbani Loungekatika kutimiza miaka 13 ya Kufanya muziki kwa mwanadada Lady Jaydee.
 
Mwanadada Ladyjaydee ameweka wazi kuwa Juma Nature atakuwepo na kufanya show siku hiyo mbali na Juma Nature na Wanaume Halisi pia atakuwepo mtu Mzima Profesa JAY ambae yeye amekili kutumia nguvu zake zote,akli zake zote na hata uwezo wake kuhakikisha kuwa Show inasimama siku hiyo.

0 comments:

Post a Comment