Thursday, May 9, 2013

CHEGE AMVESHA PETE MCHUMBA WAKE NORWAY LEO



Msanii wa Bongo Fleva kutokea pande za Temeke CHEGE  Chigunda alimaarufu kama Mtoto wa Mama Saidi ambae anatamba na ngoma yake ya TAKE AWAY leo anamvalisha pete ya Uchumba Mchumba wake wakiwa Nchini Norway.

Hivi kalibuni Chege na Ommy Dimpozi wapo Kikazi zaidi ughaibuni walipokwenda kufanya Shows katika Viunga vya pande hizo hivyo mtu mzima Chege ameamua kutumia fursa hiyo kumvisha pete mchumba wake huyo na kuweka wazi uhusiano wake,kitendo cha kuvalishana pete kitaambatana na kijisherehe kitakachofanywa nchini Norway leo.

“Baada ya muda mchache nitafanyiwa party ya kuagwa n kumvesha mchumbaangu pete,in Norway"

Amenukuliwa Chigunda , mbali na hilo ameonesha wazi kabisa kuwa kila jambo huwa ni mipango ya Mungu na si binadamu kwani kwa jambio alilopanga Mungu hakuna mtu wa kuweza kulitengua kabsaaa
“Kila kitu kimepangwa na mungu kubadili ni kazi sana”


0 comments:

Post a Comment