Mwanamitindi Jokate Mwegelo alimaarufu kwa jina la Kidoti ameanzisha program inayolenga kuwasaidia wanafunzi ili waweze kufanya vizuri darasani na kuwasaidia kugundua vipaji vyao na namna ya kuviendeleza vipajio hivyo wawapo shuleni.
Program
hiyo inayokwenda kwa jina la KidotiTime itaingizwa katika ratiba za
shule kwa kuanZia itakuwa ni kwa siku 27 kwa mujibu wa Jokate amesema
kuwa ameanzia nyumbani kufanikisha mpango huo ambako ni songea.
“Jumamosi
iliyopita nilikuwa kwetu songea vijijini kama mgeni rasmi kwenye
ufunguzi wa michezo ya Umisseta ngazi ya wilaya. Lakini vile vile
nilipata nafasi kutambulisha program ya Kidoti Time itakatoingizwa
kwenye ratiba za shule takribani 27 kwa kuanzia. Program hii ni
kusaidia wanafunzi kujitahidi darasani huku wakigundua na kuendeleza
vipaji vyao vingine.
0 comments:
Post a Comment