Thursday, March 7, 2013

WALIMU WOTE WALIO AJIRIWA NA SERIKALI MWAKA HUU KATIKA AJIRA MPYA WANAPASWA KUWASILI VITUO VYA KAZIKAZI KABLA TAREHE 9 MARCH 2013.


Walimu wote walioajiriwa na serikali mwaka huu walitakiwa kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa kabla ya march 9  Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 9 Machi 2013 atapoteza nafasi hiyo.

WANAFUNZI WAKIPATA DARASA HII NI KOROGWE
 WALIMU WAPYA MNAO KWENDA KATIKA VITUO VYA KAZI HASA KATIKA MAENEO AMBAYO KIDOGO MIUNDO MBINU SI MIZURI SANA TUNAPASWA KUWEKA AKILI ZETU KATIKA UTAYARI WA KUPAMBANA NA MAZINGIRA HUSIKA KWA LENGO LA KUWASAIDIA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAKUBWA SANA YA KUFANIKIWA KATIKA ELIMU. 

0 comments:

Post a Comment