Thursday, March 7, 2013

MKUTANO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI CHADEMA UK KUFANYIKA MACHI 9, 2013


Viongozi na wanachama wa chadema nchini UK wanakutana jumamosi hii katika ukumbi wa The Re London Shoreditch Hotel watapofanya mkutano wa uchaguzi wa tawi la Chadema Nchini humo.
Mgeni rasmi katika mkutano huo ni mbunge wa Ubungo Mhe.John Mnyika na atasimamia zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa chadema katika tawi la Uk uchaguzi huo umefikia kutokana na mabadiliko ya kiuongozi yaliyofanyika mwishoni mwa  mwaka jana 2012.
Mbali na uwepo wa Mnyika Balozi wa tanzani nchini londoni uingereza amekalibishwa kwenye mkutano wa huo nchini humo kama muwakilishi wa watanzania na serikali ya tanzania katika mkutano.

0 comments:

Post a Comment