Wednesday, March 13, 2013

BUNGE LATUCHOKOZA-DR SLAA



KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO DR WILLBOARD SLAA AMESEMA KUWA BUNGE LA TANZANIA LINAWACHOKOZA .

Dr slaa
DR SLAA ASEMA HAYO JANA ALIPOKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA KITENDO CH A BUNGE KUWATAKA WABUNGE WA CHADEMA KUHOJIWA KATIKA KAMATI BATILI,AMEDAI KUWA KAMATI INAYOTAKA KUWAHOJI NI KAMATI ILIOVUNJWA NA SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KATIK A KIKAO CH A KUMI KILICHO ISHA JANUARY MWAKA HUU.


KUFUATIA HALI HIYO DR SLAA AMEMWAGIZA TUNDU LISSU KWA NIABA YA KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI FREMAN MBOWE KUMUANDIKIA BARUA KUKATAA NA PIA KUHOJI UHALALI WA KAMATI KUENDELEA NA KAZI IKIWA MUDA WA KAZI ULISHAPITA.


KAMATI YA HAKI,KINGA NA MAADILI YA BUNGE ILIUNDWA KUFUATIA FUJO ZILIZO TOKEA BUNGENI FEBRUARY 4 MWAKA HUU NA KAMATI HIYO ILIKUWA CHINI YA BRIGEDIA MSTAAFU HASSANI NGWILIZI WA CCM.

0 comments:

Post a Comment