kazi chini ya produza Mbezi,kazi hiyo aliyoipa jina la Lookie lookie my life ambayo yeye anaiona ni kama zawadi aliyoachiwa na marehemu Ngwea kutokana na mazingira ya kazi hiyo ilivyofanyika.
Black Rhino alisema haya alipokuwa akizungumza katika kipindi cha E news kinachorushwa kupitia televisheni ya vijana EATV.
"Lookie
Lookie my life ni wimbo wangu wa kwanza kwa mwaka huu 2014 kuachia
nimefanya na marehemu Ngwea chini ya pruduza Mbezi kiukweli
ukiangalia mazingira ya ufanyaji kazi katika wimbo huu naweza kusema
Ngwea ameniachia wimbo huu kama zawadi baada ya kifo chake,hivyo
katika wimbo huu tumezungumzia watu ambao wana angalia maisha ya mtu
badala ya kuangalia maisha yao binafsi hivyo tunawataka watu hawa
kuangalia maisha yao na si maisha ya mtu ili mambo yaweze kwenda
mbele na kufanya maendeleo yao binafsi."
Black
Rhino hajaweka wazi ni lini haswa wimbo wake mpya utatoka baada ya
kimya chake cha muda mrefu katika muziki ingawa amedai kuwa itakuwa
ni kabla ya mwezi wa nne,mkali huyu alishatamba na ngoma kama Black
Chata,Mistari,Usipime na zingine.







0 comments:
Post a Comment