Quick Rocka anataraji kuachia wimbo wake huo mpya siku ya Valentine Day Ijumaa hii ambao amempa shavu Msanii Ben Pol na kupikwa na produza Manecky katika studio ya Am Records ambayo kwa sasa imeshatema Hits kadhaa kali kwa mwaka huu ikiwa ni pamoja na ngoma ya Hemedy na Gerry ,Ommy dimpoz Miss Koikoi.
Monday, February 10, 2014
QUICK ROCKA KURUDI NA PENZI VALENTINE DAY
3:46 AM
No comments
Msanii Quick Rocka
ambaye ametamba mwaka jana na wimbo wake My baby aliyokuwa
ameshirikisha marehemu Albert Mangwear anarudi na Penzi lililopikwa
na Manecky.
Quick Rocka anataraji kuachia wimbo wake huo mpya siku ya Valentine Day Ijumaa hii ambao amempa shavu Msanii Ben Pol na kupikwa na produza Manecky katika studio ya Am Records ambayo kwa sasa imeshatema Hits kadhaa kali kwa mwaka huu ikiwa ni pamoja na ngoma ya Hemedy na Gerry ,Ommy dimpoz Miss Koikoi.
Quick Rocka anataraji kuachia wimbo wake huo mpya siku ya Valentine Day Ijumaa hii ambao amempa shavu Msanii Ben Pol na kupikwa na produza Manecky katika studio ya Am Records ambayo kwa sasa imeshatema Hits kadhaa kali kwa mwaka huu ikiwa ni pamoja na ngoma ya Hemedy na Gerry ,Ommy dimpoz Miss Koikoi.
0 comments:
Post a Comment