Msanii
kutoka Rujewa Mbeya ambaye ameanza game kwa kutambulisha wimbo wake
unaokwenda kwa jina la You make me busy ulioufanya kwa kumpa shavu
Ungerground mwenzake Mariot anampango wa kufika level za Diamond
Platnum.
Mtam
Unique ambae anakili wazi kuwa amekuwa Inspired sana kufanya muziki
kutokana na uwezo wa Diamond hususani katika mashairi pamoja na namna
ambavyo mkali huyo amekuwa akimiliki jukwaa,amekili kuwa anatamani
sana siku moja afike Level hizo.
Alipokuwa
akiweka wazi juu ya mipango yake kuhakisha anakuwa katika game na
kufanya vizuri amesema anatambua anapaswa kufanya kazi nzuri ambayo
itapendwa na watu na kujituma katika kazi ili aweze kutimiza ndoto
zake hizo.
Mtam
amefunguka na kuweka wazi kuwa anatambua Diamond ameweza kufanikiwa
kutokana na uwezo wake na jitihada yake katika kazi pamoja na
uvumilivu wake uliomfanya kujifunza vitu vingi ambavyo ndivyo
vimekuwa mchango mkubwa kwa maendeleo aliyonayo sasa hivyo,ameahidi
kupita njia hizo kama mafunzo kwake ili nae aweze kufikia malengo
yake kwa njia yake mwenyewe.
Sikiliza
na Download Wimbo huo Hapa
0 comments:
Post a Comment