Mwanamuziki
bora katika Rnb Ben Pol siku ya kesho atatambulisha wimbo wake wa
kwanza kwa mwaka 2014 na kutambulisha Album yake inayokwenda kwa jina
la (Ben Pol) ambayo itauzwa kwa njia ya mtandao na itakuwa na nyimbo
20 ndani yake.
Ben
Pol amesema wimbo wake wa Unanichora amefanya na mtayarishaji Fundi
Samwel na imebeba ujumbe wa mapenzi ndani yake,kwa mwaka huu mkali
huyo anafungua mwaka na ngoma hiyo baada ya kutamba na ngoma kadhaa
mwaka jana.
Awali
wimbo huo ilipagwa kuachiwa mapema kabsaa mwa mwaka huu wa 2014
lakini kutokana na mipango kubadilikia ilibidi zoezi lisimame na
kusogea mpaka Tarehe 11.02.2014 ambapo kila kitu kitakuwa kimekwenda
kama kilivyopangwa.
0 comments:
Post a Comment