Thursday, March 14, 2013

UCHAGUZI WA (TFCA)KUFANYIKA MOROGORO JUMAMOSI HII



Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha makocha wa mpira wa miguu Tanzania utafanyanyika jumamosi hii  wajumbe wanaogombea nafasi mbalimbali wameombwa kufika siku moja kabla ya uchaguzi.

Wagombea waliopitishwa kugombea nafasi za uongozi na kamati ya uchaguzi ya TAFCA ni  Oscar Don Koroso (Mwenyekiti), Lister Manyara(Makamu Mwenyekiti) na Michael Bundala(Katibu).

Kwa mujibu wa Ramadhan Mambosasa amesema Gabriel Gunda amegombea nafasi ya Katibu Msaidizi,Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzani-TFF ni Wilfred Kidao na waogombea ujumbe wa kamati ya utendaji ni Jemedali Saidi,George Komba na Mogoma Rugora.

0 comments:

Post a Comment