Thursday, March 14, 2013

BARAZA LA WAUGUZI NA UKUNGA NCHINI TNMC KUFANYA TAFRIJA KUTIMIZA MIAKA 60



Baraza la wauguzi limekusudia kufanya tafrija ya kutimiza miaka sitini toka kuanzishwa kwake  mwezi wa tatu mwaka 1953 hapa nchini .

Tafrija hiyo itawapa nafasi wauguzi na wakunga kutoka sehemu mbalimbali kuangalia maendeleo ya elimu ya uuguzi na ukunga nchini ukilinganisha na milongo sita iliyopita vilevile wataangalia njia na namna nyingine ya kuboresha huduma hiyo.

Moja ya vitu watakavyofanya katika kusheherekea miaka sitini ya TNMC kutakuwa na mkutano wa scientific utakaofanyika kuanzia Tarehe 16 mwezi wa Tatu mpaka -19 Mwezi wa Tatu,utakao fanyika  Dar es salaam-Tanzania.

0 comments:

Post a Comment