Thursday, March 14, 2013

LIGI KUU VODACOM KUENDELEA JUMAMOSI HII



Ligu kuu Bara inaendelea jumamosi hii katika viwanja vitatu tofauti Dar es salaam,Mwanza na Morogoro.

Yanga wataumana na Ruvu shooting katika uwanja wa Taifa  Dar es salaam wakati Toto African’s itakutana na Mgambo shooting katika uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza na Mtibwa Sugar itavaana na Coastal Union  katika kiwanja cha manungu huko Tuliani Morogoro.

0 comments:

Post a Comment