Thursday, March 14, 2013

TAMASHA LA WAKONGWE WA MUZIKI WA INJIRI KUFANYIKA JUMAPILI HII DIAMOND JUBILEE



Tamasha la wakongwe wa wanamuziki wanaoimba nyimbo za injiri kufanyika jumapili hii katika ukumbi wa diamond jubilee litakalo anza kuanzia saa nane za mchana.

Na wasanii wakongwe watakao kuwepo katika tamasha hilo ni pamoja na Nunu na Mumewe Donice Nkone,Upenso Kilariho,joge Jabiri,New life Band,Pasror Safari,John Shabani,

Tamasha hili limelenga kutambua mchango mkubwa ulifanywa na waimbaji hawa wakongwe katika muziki wa injiri hivyo litaendana na kutunukiwa tuzo za heshima kwa waimbaji hao wakongwe kutokana na mchango wao.

0 comments:

Post a Comment