![]() |
| MUSSA ZUNGU |
Mbunge
wa jimbo la Ilala Mussa Zungu amesema jimbo la ilala limeandaa mbio za nusu marathoni
kwa ajiri ya vijana wa jimbo hilo wenye lengo la kuwakutanisha na kubadilishana
mawazo mbalimbali.
Zungu
amesema kuwa washiriki kutoka majimbo mengine wanaweza kuungana na wenzao wa
ilala katika mbio hizo zitakazo fanyika jumapili hii.







0 comments:
Post a Comment