Monday, February 3, 2014

LADY JAYDEE KUTAMBULISHA HISTORIA JMOSI

Msanii Lady Jaydee ambae amefanikiwa kwa mwaka jana na kufanya vizuri katika muziki wa bongo fleva kupitia nyimbo zake Joto hasira na Yahaya.

Mwanadada huyo aliejipatia jina la Annaconda ameanza mwaka kwa kutambulisha ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Historia ambayo amepanga kuzindua video ya wimbo huo Jumamosi ya tarehe 8.

kufuata uzinduzi huo mwanadada Jide ametoa nafasi ya watu 20 kutoka kwa wapenzi wake kupitia ukurasa wake wa Facebook.

Video ya Historia iko tayari na itatoka Jumamosi ya tar 8 february 2014 kwenye party maalum ya kuitambulisha, na kutoka humu facebook nitaalika watu 20 wa kuja kuiangalia kwa mara ya kwanza kabla haijaruka kwenye TV zote.. Swali litakuja na 20 wa mwanzo watakaopatia nitajumuika nao. Usicheze mbali”

0 comments:

Post a Comment