Mtu
mmoja amekamatwa na maofisa usalama wa Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili (MNH) kwa tuhuma za kuwatapeli watu mbalimbali wakiwamo
wagonjwa kwa kujifanya ni daktari.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo jana, Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa MNH, Aminieli Eligaesha alisema kukamatwa kwa mtu huyo kunafuatia mtego uliowekwa na uongozi wa hospitali baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema juu ya vitendo vyake.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo jana, Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa MNH, Aminieli Eligaesha alisema kukamatwa kwa mtu huyo kunafuatia mtego uliowekwa na uongozi wa hospitali baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema juu ya vitendo vyake.






0 comments:
Post a Comment