Wednesday, January 29, 2014

Mashabiki wa Mbeya City wabadili mpangilio wa Azam Tv leo

Mashabiki wa timu ya Mbeya City wamebadili mpangilio wa mechi ya kurushwa Live katika Television ya Azam,kwa mujibu wa utaratibu wa awali kulipaswa
kurushwa kwa mechi kati ya Azam FC na Rhino.

Lakini kutokana na maombi ya mashabiki wa Mbeya City wamefanya mpangilio huo kuvurugika na kurushwa kwa mechi kati ya Ruvu Shooting na Mbeya City itakayorushwa leo jioni.

0 comments:

Post a Comment