Wednesday, January 29, 2014

Chuji kuivaa Coastal Union leo

Baada ya Klabu ya Yangakumrudisha kiungo wa ulinzi Athuman Idd Athuman alimaarufu kama Chuji baada ya kuomba msamaha kutokana na kuonesha utovu
wa nidhamu mwishoni mwa mwaka jana leo Chuji ataungana na wenzake kuikabili Coastal Union ya Tanga.

Baada ya kuandika barua kwa uongozi kuomba msamaha, Chuji alipewa onyo kali na uongozi na kupewa kipindi cha matazamio ambapo kwa kipindi cha mwezi mmoja ameonekana kubadilika na kurejea katika nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja.

Katika mechi hiyo ambayo itapigwa katika uwanja wa Mkwakwani.kiingilio kuitazama mechi hiyo
VIP Tshs 15,000/=
Popular Tshs 5,000/=










0 comments:

Post a Comment