Monday, November 11, 2013

WAKIEENDA NJE HUISHIA KUPIGA PICHA KAMA WEHU TU-BATULI

Baadhi ya watanzania wanaopata nafasi ya kwenda nje ya Nchi kwa mialiko au Kufanya jambo fulani inasemekana wanapofika huko hushindwa kufanya mambo
ya msingi ya maendeleo lakini wao kazi yao kupiga Mapicha kama Wehu ili kudhibitishia jamii kuwa walikuwepo huko.

Akitiririka hilo Msanii wa Bongo Movie Batuli ambaye kwa sasa amekuwa na mlengo Tofauti na wasaniii wengine wengi wa Bongo Movie katika maisha yao kilasiku kutokana na mtazamo wake wa maisha na msimamo wake kiutendaji.

Tabia ya kwenda nchi za wenzetu na kupiga mapicha kama wehu sidhani kama ni maendeleo, Watanzania mnaopata mialiko fanyeni mambo ya maana.”



0 comments:

Post a Comment