Monday, November 11, 2013

MZEE WA MIAKA 70 AMEFUNGA NDOA NA MTOTO WA MIAKA 14

Mzee mmoja mwenye Umri wa Miaka 70 ameshirkiliwa na Polisi Mkoani Tanga baada ya kufunga Ndoa na Mtoto wa miaka 14 huko mjini Tanga,kwa mujibu wa
Polisi Mkoni Tanga wamesema kuwa walifanikiwa kumkamata Mtuhumiwa huyo siku hiyo hiyo ya Harusi November 10 mwaka huu majira Mchana.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tanga, Constantine Massawe, alisema pamoja na Bwana harusi huyo pia Polisi wanamshikilia mama mzazi wa binti huyo,kwa mujibu wa Kamanda alidai kuwa walipofanya mahojiano na Wanandoa hao walibaaini kuwa ni Ndugu na walikiri kama kweli walifunga ndoa hiyo siku hiyo mchana.

Sasa ili tupate uhakika kama mtu huyu pia hajamwingilia binti huyo uchunguzi wa madaktari unaendelea na ikiwa ni alimwingilia ina mwa aana kesi ya kubaka itamkabili,” alifafanua kamanda huyo.


0 comments:

Post a Comment