Mwanamuziki
wa Hip Hop aliyeweza kujipatia umaarufu Mkubwa na Mafanikio ya Muziki
kwa mwaka 2013 Kala Jeremiah ambaye kwa sasa ni
Balozi wa Kinywaji
cha Pepsi Cola amefunguka na kusema kuwa baada ya Jaribu kujiuliza na
Dear God kufanya vizuri na kumpatia mafanikio makubwa katika muziki
siku ya Jtano ya Week ijayo ataachia Wimbo mpya unaokwenda kwa jina
la Walewale ambao ametoa shavu kwa Msanii Nay Lee.
Kala
amefunguka na kusema kuwa Siku hiyo ataachia Audio pamoja na Video ya
Wimbo huo ili kutoa nafasi ya Watu kusikia na kuona Ujumbe
uliowasirishwa katika Ngoma hiyo ambayo huenda ikiwa na ngoma ya
mwisho kwa Kala Jeremiah kutoa kwa Mwaka huu 2013.







0 comments:
Post a Comment