marekebisho ndipo vinaweza kuendelea kutumika kuchezewa Ligi Kuu Bara.
Viwanja
vilifungiwa ni pamoja na Kaitaba Bukoba, Mkwakwani jijini Tanga,
Sokoine jijini Mbeya, Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, Ali Hassan
Mwinyi Tabora na Jamhuri Morogoro.
Viwanja
hivi vimetumika katika Round ya kwanza ya Ligi kuu bara ambayo
imemalizika siku chache zilizopita mpaka January Mwakani ambapo
mzunguko wa Pili wa Ligi unatarajiwa kuanza kutimua vumbi







0 comments:
Post a Comment