Tuesday, November 12, 2013

DR SENGODO MVUNGI AFARIKI DUNIA

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi ambaye alikuwa Nchini South Afrika kwa matibabu baada ya kuvamiwa, kujeruhiwa na
kuporwa vitu mbalimbali ikiwamo kompyuta amefariki Dunia.
Kwa Mujibu wa Mkurugenzi wa Habari Cooperation Hussein Bashe amethibitisha kwa kuandika uJumbe katika Mtandao wake wa Twitter
uliosomeka “Dr Sengondo Mvungi Is NO MORE,Allah ailaze Roho Yake Mahali Pema Peponi "From SA Milpark Hospital".
MWENYEZI MUNGU AILAZE PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU

0 comments:

Post a Comment