Wednesday, November 13, 2013

HIKI NDICHO ALICHOANDIKA ZITTO KABWE JUU YA KIFO CHA DK MVUNGI.

Mola anatuambia nini kwa mtihani wa kifo cha dkt. Mvungi? Allah hawezi kutuchukulia Mwalimu wetu kwa namna hii bila sababu.

Bwana hawezi kumchukua baba yetu kwa njia hii bila somo kwetu. Huu ni mtihani mkubwa. Kama Mwalimu aliyebobea, mjumbe wa tume ya katiba anaweza kuvamiwa na kupigwa hatimaye kufariki, vipi kuhusu mwananchi wa Kalinzi au Kidahwe?
Ni mtihani. Mola atuafu......

0 comments:

Post a Comment