Alitamba
kwa ngoma nyingi kali na umahiri wake wa kucheza mpaka kupewa jina la
Kiuno bila mfupa Ray C.
Kutokana
na mabadiliko ya maisha kwa vijana wengi Ray C kwa sasa amekuwa na
Umbo kubwa kiasi ukilinganisha na enzi za Nataka kuwa na wewe Milele
ambapo aliweza kuwachengua watu kibao kutokana na Swaga zileeee.
Lakini
kuwa na umbo kubwa kumnampa nafasi ya kufanya mazoezi ili aweze
kurejea katika hali ya kawaida ambayo mwenyewe amekili wazi wazi kuwa
anaikumbuka sanaaa.
Katika
mtando wa Instagram mwanadada Ray C alipost Moja ya Picha yake ya
Zamani akiwa katika kazi yake iliyomfanya kupata jina la kiuno bila
mfupa na kuandika maneno haya
“I
miss ths sexy body!!!!Heeeeelp....I need a good trainer........!Whr r
U!!!!!!”
kwa
mantiki hii Ray C anachukizwa na Umbile lake la sasa hivyo anahitaji
mtu ambaye atamsaidia kuondokana na mwili wake wa sasa na kurudi kule
alikotoka awali.









0 comments:
Post a Comment